
5. Vitako Viwili vya Fedha na Ndimi Mbili kwa Kila Ubao wa Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 26:15-37)
カートのアイテムが多すぎます
ご購入は五十タイトルがカートに入っている場合のみです。
カートに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ウィッシュリストに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ほしい物リストの削除に失敗しました。
しばらく経ってから再度お試しください。
ポッドキャストのフォローに失敗しました
ポッドキャストのフォロー解除に失敗しました
-
ナレーター:
-
著者:
このコンテンツについて
Hema Takatifu la Kukutania liliundwa kwa mbao 48; kulikuwa na mbao 20 kwa kila upande wa kusini na kaskazini, mbao sita ziliwekwa upande wa magharibi, na mbao mbili ziliwekwa katika kona mbili za nyuma. Kila ubao ulikuwa na kipimo cha mita 4.5 (futi 15) kwa urefu na takribani sentimita 67.5 (futi 2.2) kwa upana. Ili kila ubao uweze kusimama vizuri ukiwa umenyooka kulikuwa na vitako viwili vya fedha na ndimi mbili ambavyo vilifungamana pamoja vizuri. Hii inatuonyesha tena kuwa wokovu wa Mungu unapatikana kwa neema yake tu kwa imani katika Kristo.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35