『8. Rangi ya Lango la Ua wa Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 27:9-19)』のカバーアート

8. Rangi ya Lango la Ua wa Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 27:9-19)

8. Rangi ya Lango la Ua wa Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 27:9-19)

無料で聴く

ポッドキャストの詳細を見る

このコンテンツについて

Kuna tofauti za wazi kati ya imani ya wale waliozaliwa upya na ile ya wakristo wa mazoea: imani ya wale waliozaliwa upya inafahamu na kuamini kuwa Mungu amezifuta dhambi zao zote, na imani ya wakristo wa mazoea inamwamini Yesu kwa kuyategemea mawazo yao binafsi, ni kama suala la kidini tu. Pamoja na hayo wale wanaomwamini Mungu kama sehemu ya masuala ya kidini wanafanikiwa sana kiasi kuwa wale wanaohubiri ukweli halisi wanaumizwa moyo pale wanapowaona watu hawa wenye imani potofu wakiyaeneza mafundisho yao ya uongo huku wakifanikiwa. Wanaumizwa mioyo kwa sababu wanafahamu wazi kuwa Wakristo wengi sana wanaletwa katika dini hiyo ya uongo na udanganyifu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

8. Rangi ya Lango la Ua wa Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 27:9-19)に寄せられたリスナーの声

カスタマーレビュー:以下のタブを選択することで、他のサイトのレビューをご覧になれます。