Siasa

著者: The Standard Group PLC
  • サマリー

  • Ni kitengo kinachohusu mijadala mipevu, uchambuzi na maoni kuhusu siasa na wanasiasa.
    The Standard Group PLC
    続きを読む 一部表示
activate_samplebutton_t1
エピソード
  • Hali ya siasa Afrika Mashariki na mizozo ya DRC na Sudan: Kulikoni Podcast
    2023/04/26
    Katika msururu wa leo wa kipindi cha Kulikoni, Prof Monda anaongea na Bwana Goodluck Paul, mwandishi wa masuala ya diplomasia anayefanya na runinga ya Azam kutoka Taifa la Tanzania. Wanaangazia siasa za Afrika mashariki na mizozo ya DRC na Sudan. Karibu!
    続きを読む 一部表示
    42 分
  • Nilikuwa darasa moja na Dr. Ruto, Rais Mteule
    2022/08/17
    Esther Cherobon alikuwa katika darasa moja na Rais Mteule, William Ruto katika Shule ya Msingi ya Kamagut kwenye Eneobunge la Turbo katika Kaunti ya Uasin Gishu. Cherobon anasema kuwa Ruto alikuwa mwerevu sana shuleni na alipofanya mtihani wa wa CPE mwaka 1980 aliibuka wa kwanza kwenye eneo zima kwa kupata alama 33 juu ya 36. Anasema wazazi wa Ruto walikuwa waanzilishi wa kanisa la AIC hivyo kumkuza pamoja na nduguze kwa kuzingatia dini. Licha ya kulelewa katika mazingira ya umasikini, Ruto alitia bidii masomoni akilenga kubadili hali yake na ya familia yake. Faith Kutere amemhoji kwenye Siasa Podcast wiki hii.
    続きを読む 一部表示
    23 分
  • Daily Brief Podcast; Is Uhuru learning from DP Ruto? Episode 1
    2022/06/20
    Was the chaos in Jacaranda a prelude to what could happen nationally after the August 9th polls? Who was to blame for the altercation that saw UDA aspirant, Francis Mureithi injured? In a separate incident, President Uhuru donates Sh10 million to the Akorino church and offers them a piece of land worth more than Sh100 million. Is this a case of trying to gain political mileage in church or is the head of state honouring the now 100-year old religious faction? We also dissect the remarks of Moses Kuria targeting DP Ruto and his UDA party and the viral video of Kabogo campaigning for Raila Odinga. Is this a case of betrayal in the mountain or are the Kiambu politicians just trying to get the attention of DP Ruto? Kimani Mbugua takes a look at all these and more on the Standard podcast.
    続きを読む 一部表示
    5 分

あらすじ・解説

Ni kitengo kinachohusu mijadala mipevu, uchambuzi na maoni kuhusu siasa na wanasiasa.
The Standard Group PLC

Siasaに寄せられたリスナーの声

カスタマーレビュー:以下のタブを選択することで、他のサイトのレビューをご覧になれます。